SlideShare uma empresa Scribd logo
1 de 14
Mofolojia
ya

kiswahili
Malengo ya somo hili
• Kueleza na kufafanua maana ya mofolojia
• Kutambua na kufafanua zaidi mofolojia na
vipashio vyake.
Kunihusu mimi
• GEOPHREY SANGA
• Mwalimu wa shahada ya ualimu katika
masomo ya kiswahili and ICT(TEHAMA)
• BED ICT
• Email: sangageophrey@gmail.com
utangulizi
•

Maana ya mofolojia
Maana ya mofolojia
• Mofolojia ni tafsiri ya neon la kiingereza
“Morphology”. Neno hili nalo linatokana na
neon la kiyunani “Morphe” lenye maana ya
muundo au umbo ( Aurbach et al 1971; 106).
• Mofolojia ni neno linalotumiwa kumaanisha
utanzu wa isimu unaoshughulikia muundo wa
maneno ( Habwe na Karanja 2004).
Maana..........
• Hartman (1972). Mofolojia ni tawi la
sarufi ambalo hushughulika na uchunguzi
na uchambuzi wa maumbo, fani na aina
za maneno yalivyo sasa pamoja na
historia zake
Maana.........
• Kwa ujumla mofolojia ni taaluma
inayoshughulikia lugha pamoja na
mpangilio wake katika uundaji wa
maneno. Vipashio hivyo vya lugha
huitwa mofimu
Uhusiano uliopo kati ya mofolojia na
matawi mengine ya sarufi
• Mofolojia na fonolojia
• Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya
mofolojia na fonolojia:i. Vipashio vya kifonolojia ndivyo hutumika
katika kuunda vipashio vya kimofolojia
mfano
Mofolojia na fonolojia
• Vipashio vya mofolojia ni fonimu, mfuatano
wa fonimu ndio huuna vipashio vya
kimofolojia ambavyo ni mofimu
Mfano
• Fonimu: i, p, t, a, huunda
• mofimu: Pit-a
• Hivyo basi neno pita limeundwa na mofimu mbili na fonimu nne
Mofolojia na fonolojia
ii) Uhusiano mwingine kati ya fonolojia na
mofolojia ni kwamba, kanuni za kifonolojia
hutumika kueleza maumbo ya kimofolojia
ambayo yanaathiriana.
Mfano
Katika neno mu-ana
mwu-alimu
Mofolojia na fonolojia
• Kipashio [mu] katika mifano hapo juu
kinajitokeza kama [mw-] inapofuatwa na irabu
ambayo.

Mu

mw-/-I
Mofolojia na sintaksia
i. Vipashio vya msingi vya kimofolojia ndivyo
hutumika katika kuundia daraja hili la
sintaksia
Mfano

Neno hutumika kuundia sentensi
Mwisho

kwa

asante

usomaji

Mawasiliano: sanagageophrey@gmsil.com
©2013
Maswali na majibu
• Kwa maswali au mchango wowote kuhusuiana
na kiswahili nifuate kwenye email yangu ya
• sangageophrey@gmail.com

Mais conteúdo relacionado

Mais procurados

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiKAZEMBETVOnline
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahilimussa Shekinyashi
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIshahzadebaujiti
 
Lexical variation
Lexical variationLexical variation
Lexical variationFabbie M
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Kriolimussa Shekinyashi
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIPeter Deus
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILImussa Shekinyashi
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
3 phonology slides
3 phonology slides3 phonology slides
3 phonology slidesJasmine Wong
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAshahzadebaujiti
 
What is morphology
What is morphologyWhat is morphology
What is morphologyrashid abbas
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaWilson Pastory
 
Types of language change
Types of language changeTypes of language change
Types of language changeMariam Bedraoui
 
Phonology and pronunciation of morphemes ms. ladjagais
Phonology and pronunciation of morphemes   ms. ladjagaisPhonology and pronunciation of morphemes   ms. ladjagais
Phonology and pronunciation of morphemes ms. ladjagaisCarl Richard Dagalea
 

Mais procurados (20)

MATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFIMATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFI
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZIMAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
MAENDELEO YA FASIHI SIMULIZI
 
Lexical variation
Lexical variationLexical variation
Lexical variation
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
Maana ya maana!
Maana ya maana!Maana ya maana!
Maana ya maana!
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILI
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
 
UTUNGAJI
UTUNGAJIUTUNGAJI
UTUNGAJI
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
3 phonology slides
3 phonology slides3 phonology slides
3 phonology slides
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
 
What is morphology
What is morphologyWhat is morphology
What is morphology
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
Types of language change
Types of language changeTypes of language change
Types of language change
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
Phonology and pronunciation of morphemes ms. ladjagais
Phonology and pronunciation of morphemes   ms. ladjagaisPhonology and pronunciation of morphemes   ms. ladjagais
Phonology and pronunciation of morphemes ms. ladjagais
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 

Mofolojia ya kiswahili

  • 2. Malengo ya somo hili • Kueleza na kufafanua maana ya mofolojia • Kutambua na kufafanua zaidi mofolojia na vipashio vyake.
  • 3. Kunihusu mimi • GEOPHREY SANGA • Mwalimu wa shahada ya ualimu katika masomo ya kiswahili and ICT(TEHAMA) • BED ICT • Email: sangageophrey@gmail.com
  • 5. Maana ya mofolojia • Mofolojia ni tafsiri ya neon la kiingereza “Morphology”. Neno hili nalo linatokana na neon la kiyunani “Morphe” lenye maana ya muundo au umbo ( Aurbach et al 1971; 106). • Mofolojia ni neno linalotumiwa kumaanisha utanzu wa isimu unaoshughulikia muundo wa maneno ( Habwe na Karanja 2004).
  • 6. Maana.......... • Hartman (1972). Mofolojia ni tawi la sarufi ambalo hushughulika na uchunguzi na uchambuzi wa maumbo, fani na aina za maneno yalivyo sasa pamoja na historia zake
  • 7. Maana......... • Kwa ujumla mofolojia ni taaluma inayoshughulikia lugha pamoja na mpangilio wake katika uundaji wa maneno. Vipashio hivyo vya lugha huitwa mofimu
  • 8. Uhusiano uliopo kati ya mofolojia na matawi mengine ya sarufi • Mofolojia na fonolojia • Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya mofolojia na fonolojia:i. Vipashio vya kifonolojia ndivyo hutumika katika kuunda vipashio vya kimofolojia mfano
  • 9. Mofolojia na fonolojia • Vipashio vya mofolojia ni fonimu, mfuatano wa fonimu ndio huuna vipashio vya kimofolojia ambavyo ni mofimu Mfano • Fonimu: i, p, t, a, huunda • mofimu: Pit-a • Hivyo basi neno pita limeundwa na mofimu mbili na fonimu nne
  • 10. Mofolojia na fonolojia ii) Uhusiano mwingine kati ya fonolojia na mofolojia ni kwamba, kanuni za kifonolojia hutumika kueleza maumbo ya kimofolojia ambayo yanaathiriana. Mfano Katika neno mu-ana mwu-alimu
  • 11. Mofolojia na fonolojia • Kipashio [mu] katika mifano hapo juu kinajitokeza kama [mw-] inapofuatwa na irabu ambayo. Mu mw-/-I
  • 12. Mofolojia na sintaksia i. Vipashio vya msingi vya kimofolojia ndivyo hutumika katika kuundia daraja hili la sintaksia Mfano  Neno hutumika kuundia sentensi
  • 14. Maswali na majibu • Kwa maswali au mchango wowote kuhusuiana na kiswahili nifuate kwenye email yangu ya • sangageophrey@gmail.com